Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?

Tazama sura Nakili




Yobu 15:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Naam, wewe wapuuza hofu ya Mungu, Nawe wazuia ibada mbele za Mungu.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo