Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Naye amekaa katika miji iliyo ukiwa, Katika nyumba ambazo hapana mtu azikaaye, Zilizokuwa tayari kuwa magofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Ameishi katika miji iliyoachwa tupu, katika nyumba zisizokaliwa na mtu; nyumba zilizotakiwa ziwe lundo la uharibifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Ameishi katika miji iliyoachwa tupu, katika nyumba zisizokaliwa na mtu; nyumba zilizotakiwa ziwe lundo la uharibifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Ameishi katika miji iliyoachwa tupu, katika nyumba zisizokaliwa na mtu; nyumba zilizotakiwa ziwe lundo la uharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 ataishi katika miji ya magofu, na katika nyumba ambazo haziishi mwanadamu yeyote, nyumba zinazokuwa vifusi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 ataishi katika miji ya magofu, na katika nyumba ambazo haziishi mwanadamu yeyote, nyumba zinazokuwa vifusi.

Tazama sura Nakili




Yobu 15:28
8 Marejeleo ya Msalaba  

Katika hema yake hakuna kitakachobaki; Kiberiti kitamwagwa juu ya makazi yake.


Pamoja na wafalme na washauri wa dunia, Hao waliojijengea maganjoni;


Mikaya Mmorashti, alitabiri katika siku za Hezekia, mfalme wa Yuda; akasema na watu wote wa Yuda, ya kwamba, BWANA wa majeshi asema hivi, Sayuni utalimwa kama shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu, na mlima wa nyumba utakuwa kama mahali palipoinuka msituni.


Na Babeli utakuwa magofu, makao ya mbwamwitu, ajabu, na mazomeo, pasipo mtu wa kukaa huko.


Nami nitafanya Yerusalemu kuwa magofu, Makao ya mbweha; Nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, Isikaliwe na mtu awaye yote.


Basi, kwa ajili yenu, Sayuni utalimwa kama shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu; na mlima wa nyumba utakuwa kama mahali palipoinuka msituni.


Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hadumishi hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo