Yobu 15:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Naye amekaa katika miji iliyo ukiwa, Katika nyumba ambazo hapana mtu azikaaye, Zilizokuwa tayari kuwa magofu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Ameishi katika miji iliyoachwa tupu, katika nyumba zisizokaliwa na mtu; nyumba zilizotakiwa ziwe lundo la uharibifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Ameishi katika miji iliyoachwa tupu, katika nyumba zisizokaliwa na mtu; nyumba zilizotakiwa ziwe lundo la uharibifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Ameishi katika miji iliyoachwa tupu, katika nyumba zisizokaliwa na mtu; nyumba zilizotakiwa ziwe lundo la uharibifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 ataishi katika miji ya magofu, na katika nyumba ambazo haziishi mwanadamu yeyote, nyumba zinazokuwa vifusi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 ataishi katika miji ya magofu, na katika nyumba ambazo haziishi mwanadamu yeyote, nyumba zinazokuwa vifusi. Tazama sura |