Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Uso wake ameunenepesha kwa mafuta, na kiuno chake kimejaa mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Uso wake ameunenepesha kwa mafuta, na kiuno chake kimejaa mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Uso wake ameunenepesha kwa mafuta, na kiuno chake kimejaa mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 “Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene na kiuno chake kimevimba kwa kunenepa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 “Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene na kiuno chake kimevimba kwa kunenepa,

Tazama sura Nakili




Yobu 15:27
10 Marejeleo ya Msalaba  

Humshambulia na shingo ngumu, Kwa mafundo makubwa ya ngao zake;


Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.


Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Maana hawana maumivu katika kufa kwao, Na miili yao ina nguvu.


Macho yao hutokeza kwa kunenepa, Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.


Hasira ya Mungu ikapanda juu yao, Akawaua waliokuwa wanono; Akawaangusha chini vijana wa Israeli.


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke; Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda; Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya, Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo