Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Mateso na dhiki humtia hofu; Humshinda kama vile mfalme aliye tayari kwa vita;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Taabu na uchungu, vyamtisha; vyamkabili kama jeshi la mfalme anayeshambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Taabu na uchungu, vyamtisha; vyamkabili kama jeshi la mfalme anayeshambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Taabu na uchungu, vyamtisha; vyamkabili kama jeshi la mfalme anayeshambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Taabu na maumivu makuu vinamtia hofu; humshinda kama mfalme aliye tayari kwa vita,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Taabu na maumivu makuu vinamtia hofu; humshinda kama mfalme aliye tayari kwa vita,

Tazama sura Nakili




Yobu 15:24
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mwovu huwa na uchungu siku zake zote, Hata hesabu ya miaka aliyowekewa mwonevu.


Sauti za utisho zi masikioni mwake; Katika kufanikiwa kwake mtekaji nyara atamjia juu yake;


Hutangatanga ili apate chakula, akisema, Ki wapi? Ajua kwamba siku ya giza i tayari karibu naye;


Kwa kuwa amenyosha mkono wake juu ya Mungu, Na kuendelea kwa kiburi kinyume cha Mwenyezi;


Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.


Majeshi yake husongea pamoja, na kunipandishia njia yao, Na kupiga kambi kuizunguka hema yangu.


Taabu na dhiki zimenipata, Maagizo yako ni furaha yangu.


Hofu yenu ifikapo kama tufani, Na msiba wenu ufikapo kama kisulisuli, Dhiki na taabu zitakapowafikia.


Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Mimi mwenyewe nimewaamuru watu wangu waliowekwa wakfu kwangu, naam, nimewaita watu wangu walio hodari kwa ajili ya hasira yangu, watu wangu wenye kiburi.


Na kuhusu Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, utasema, BWANA asema hivi, Umeliteketeza gombo hili, ukisema, Mbona umeandika ndani yake, ukisema, Bila shaka mfalme wa Babeli atakuja, na kuiharibu nchi hii, na kukomesha mwanadamu na mnyama pia ndani yake?


dhiki na shida juu ya kila nafsi ya mwanadamu atendaye uovu, Myahudi kwanza na Mgiriki pia;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo