Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 15:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Mtu mwovu huwa na uchungu siku zake zote, Hata hesabu ya miaka aliyowekewa mwonevu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mwovu atateseka kwa maumivu siku zote, miaka yote waliyopangiwa wakatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mwovu atateseka kwa maumivu siku zote, miaka yote waliyopangiwa wakatili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mwovu atateseka kwa maumivu siku zote, miaka yote waliyopangiwa wakatili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Mtu mwovu siku zake zote hupata mateso, miaka yote aliwekewa mkorofi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Mtu mwovu siku zake zote hupata mateso, miaka yote aliwekewa mkorofi.

Tazama sura Nakili




Yobu 15:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.


Waliopewa hiyo nchi peke yao, Wala mgeni hakupita kati yao);


Mateso na dhiki humtia hofu; Humshinda kama vile mfalme aliye tayari kwa vita;


Mbona nyakati zisiwekwe na Mwenyezi? Na hao wamjuao mbona hawazioni siku zake?


Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kwa Mungu, Na urithi wa hao waoneao, waupokeao kwa Mwenyezi.


Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


Kwa maana twajua ya kuwa viumbe vyote pia vinaugua pamoja, navyo vina uchungu pamoja hata sasa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo