Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 15:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 (Ambayo watu wenye hekima wameyatangaza Tokea baba zao, wala hawakuyaficha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuyaficha,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuyaficha,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuyaficha,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 ambayo watu wenye hekima wameyanena, bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 ambayo watu wenye hekima wameyanena, bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao

Tazama sura Nakili




Yobu 15:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wenye mvi, na walio wazee sana, wote wapo pamoja nasi, Ambao ni wazee kuliko baba yako.


Mimi nitakuonesha, unisikilize; Na hayo yote niliyoyaona nitayanena;


Waliopewa hiyo nchi peke yao, Wala mgeni hakupita kati yao);


Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi,


Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta;


Na hata nikiwa ni mzee mwenye mvi, Ee Mungu, usiniache. Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako.


Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo; Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo