Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa nini moyo wako unakudanganya, na kwa nini macho yako yanang’aa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa nini moyo wako unakudanganya, na kwa nini macho yako yanang’aa,

Tazama sura Nakili




Yobu 15:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu, Na kumnyoshea mikono yako;


Hata ukageuza roho yako kinyume cha Mungu, Na kuyatoa maneno kama hayo kinywani mwako.


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Lakini hao wasiomcha Mungu mioyoni hujiwekea hasira Hawalilii msaada hapo awafungapo.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Basi, tubia uovu wako huu, ukamwombe Bwana, ili ikiwezekana, usamehewe fikira hii ya moyo wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo