Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 14:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Ijapokuwa mizizi yake huchakaa mchangani, Na shina lake kufa katika udongo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Japo mizizi yake itazeeka udongoni, na shina lake kufia ardhini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Japo mizizi yake itazeeka udongoni, na shina lake kufia ardhini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Japo mizizi yake itazeeka udongoni, na shina lake kufia ardhini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini na kisiki chake kufa udongoni,

Tazama sura Nakili




Yobu 14:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.


Lakini kwa harufu ya maji utachipuka, Na kutoa matawi kama mche.


Wafu wako wataishi, maiti zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi mnaokaa mavumbini, kwa maana umande wako ni kama umande wa mimea, nayo ardhi itawatoa waliokufa.


Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.


Ewe mpumbavu! Uipandayo haihuiki, isipokufa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo