Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Ni nani awezaye kutoa kitu kilicho safi kitoke katika kitu kichafu? Hapana awezaye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nani awezaye kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu? Hakuna anayeweza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nani awezaye kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu? Hakuna anayeweza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nani awezaye kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu? Hakuna anayeweza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi? Hakuna awezaye!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi? Hakuna awezaye!

Tazama sura Nakili




Yobu 14:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akaishi miaka mia moja na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.


Je! Mwanadamu ni kitu gani, hata akawa safi? Huyo aliyezaliwa na mwanamke, hata awe na haki?


Tazama, nikazaliwa nikiwa na hatia; Mama yangu akanichukua mimba nikiwa na dhambi.


Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.


Wawafutilia wanadamu mbali kama ndoto, wao ni kama majani yameayo asubuhi.


Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu?


Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu zake Aliye Juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.


Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;


ambao zamani, sisi sote nasi tulienda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira, kama wengineo wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo