Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 14:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Huhisi tu maumivu ya mwili wake, Na huombolezea nafsi yake tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Huhisi tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Huhisi tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Huhisi tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”

Tazama sura Nakili




Yobu 14:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wanawe hufikia heshima, wala yeye hajui; Kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.


Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,


Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?


Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo