Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 14:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Huchanua kama ua, kisha hunyauka. Hukimbia kama kivuli na kutoweka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Huchanua kama ua, kisha hunyauka. Hukimbia kama kivuli na kutoweka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Huchanua kama ua, kisha hunyauka. Hukimbia kama kivuli na kutoweka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Huchanua kama ua kisha hunyauka; huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Huchanua kama ua kisha hunyauka; huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.

Tazama sura Nakili




Yobu 14:2
21 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani sisi tu wageni na wapitaji mbele zako, kama walivyokuwa baba zetu wote; siku zetu duniani ni kama kivuli, na hakuna tumaini la kuishi.


Atayapukutisha mapooza yake kama mzabibu, Na kuyatupa maua yake kama mzeituni.


Kati ya asubuhi na jioni huvunjwa-vunjwa; Waangamia milele wala hapana atiaye moyoni.


(Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;)


Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, Nami ninanyauka kama majani.


Bali Wewe, BWANA utaketi ukimiliki milele, Na jina lako litakumbukwa na vizazi vyote.


Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.


Binadamu ni kama ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.


Maana kama majani watakatika mara, Kama miche mibichi watanyauka.


Tazama, umefanya siku zangu kuwa mashubiri; Maisha yangu ni kama si kitu mbele zako. Kila mwanadamu, ingawa amesitawi, ni ubatili.


Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana? Matumaini yangu ni kwako.


Mwenye haki atastawi kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


lakini haitakuwa heri kwa mwovu, wala hatazidisha siku zake, zilizo kama kivuli; kwa sababu hana kicho mbele za Mungu.


lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo