Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 14:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Lakini, tazama, mlima ukianguka hutoweka, Nalo jabali huondolewa mahali pake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “Lakini milima huanguka majabali hungoka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “Lakini milima huanguka majabali hungoka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “Lakini milima huanguka majabali hung'oka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,

Tazama sura Nakili




Yobu 14:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kosa langu limetiwa mhuri mfukoni, Nawe waufunga uovu wangu.


Maji mengi huyapunguza mawe; Mafuriko yake huuchukua mchanga wa nchi; Nawe matumaini ya wanadamu wayaangamiza.


Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Ni nani aliyeyapima maji kwa konzi ya mkono wake, na kuzikadiria mbingu kwa shubiri, na kuyashika mavumbi ya dunia katika pishi, na kuipima milima kwa uzani, na vilima kama kwa mizani?


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


Laiti ungepasua mbingu, na kushuka, ili milima itetemeke mbele zako;


Niliiangalia milima, na tazama, ilitetemeka, na milima yote ilisogea huku na huko.


Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Mbingu zikaondolewa kama ukurasa ulivyokunjwa, na kila mlima na kisiwa kikahamishwa kutoka mahali pake.


Malaika wa pili akapiga baragumu, na kitu, mfano wa mlima mkubwa uwakao moto, kikatupwa katika bahari; theluthi ya bahari ikawa damu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo