Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 14:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Wewe ungeita, nami ningekujibu; Ungekuwa na tamaa ya kazi ya mikono yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Hapo ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Hapo ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Hapo ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Utaniita nami nitakuitika; utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Utaniita nami nitakuitika; utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.

Tazama sura Nakili




Yobu 14:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Mikono yako imeniumba na kunifinyanga; Nawe utageuka na kuniangamiza?


Basi uite wakati huo, nami nitaitika; Au, niache ninene mimi, nawe unijibu.


Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za huduma yangu, Hadi kufunguliwa kwangu kunifikie.


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


BWANA atanitimizia malengo yake kwangu; Ee BWANA, fadhili zako ni za milele; Usiiache kazi ya mikono yako.


Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.


Basi wao wateswao kwa mapenzi ya Mungu na wamwekee amana roho zao, katika kutenda mema, kama kwa Muumba mwaminifu.


Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, muwe na ujasiri, wala msiaibike mbele zake katika kuja kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo