Yobu 14:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za huduma yangu, Hadi kufunguliwa kwangu kunifikie. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Je, mtu akifa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja hadi wakati wa kufunguliwa ufike. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Je, mtu akifa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja hadi wakati wa kufunguliwa ufike. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Je, mtu akifa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja hadi wakati wa kufunguliwa ufike. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena? Siku zote za kazi zangu ngumu nitangojea kufanywa upya kwangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena? Siku zote za kazi zangu ngumu nitangojea kufanywa upya kwangu. Tazama sura |