Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 14:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 “Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 “Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 “Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kama vile maji yanavyotoweka katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kama vile maji yatowekavyo katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,

Tazama sura Nakili




Yobu 14:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; Hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, Wala kuamshwa usingizini.


Na maji ya baharini yatapunguka, na huo mto utakauka na kuwa pakavu.


Mbona maumivu yangu ni ya daima, na jeraha langu halina dawa, linakataa kuponywa? Je! Yamkini wewe utakuwa kwangu kama kijito kidanganyacho, na kama maji yasiyodumu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo