Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 13:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Kwani umeandika maneno ya uchungu juu yangu, Na kunirithisha maovu ya ujana wangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wewe umetoa mashtaka makali dhidi yangu, na kunibebesha dhambi za ujana wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wewe umetoa mashtaka makali dhidi yangu, na kunibebesha dhambi za ujana wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wewe umetoa mashtaka makali dhidi yangu, na kunibebesha dhambi za ujana wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.

Tazama sura Nakili




Yobu 13:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Mifupa yake imejaa ujana wake, Lakini utalala nchi naye mavumbini.


Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga, Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;


Haniachi nipate kuvuta pumzi, Lakini hunijaza uchungu.


Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu, Wala maasi yangu. Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako, Ee BWANA kwa ajili ya wema wako.


Hakika baada ya kukugeukia kwangu, nilitubu; na baada ya kufundishwa kwangu, nilijipiga pajani; nilitahayarika, naam, nilifadhaika, kwa sababu niliichukua aibu ya ujana wangu.


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.


Akawaambia, Msiniite Naomi, niiteni Mara kwa sababu Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo