Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 13:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Nitaitwaa nyama ya mwili wangu katika meno yangu, Na kuutwaa uhai wangu mkononi mwangu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Niko tayari hata kuhatarisha maisha yangu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Niko tayari hata kuhatarisha maisha yangu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Niko tayari hata kuhatarisha maisha yangu;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?

Tazama sura Nakili




Yobu 13:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Nafsi yangu imo mkononi mwangu daima, Lakini sheria yako sikuisahau.


Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe;


Na hao wanaokuonea nitawalisha nyama yao wenyewe, nao watalewa kwa kuinywa damu yao wenyewe, kama kwa mvinyo mpya; na watu wote watajua ya kuwa mimi, BWANA, ni mwokozi wako, na Mkombozi wako ni Mwenye enzi wa Yakobo.


Hupokonya upande wa mkono wa kulia, nao huona njaa! Hula upande wa mkono wa kushoto, wala hawashibi! Watakula kila mtu nyama ya mkono wake mwenyewe.


Nami nilipoona ya kuwa ninyi hamniokoi, niliuhatarisha uhai wangu, na kuvuka ili nipigane na wana wa Amoni, BWANA naye akawatia mkononi mwangu; basi kwa nini ninyi kunijia hivi leo kutaka kupigana nami?


Kwa kuwa alihatarisha maisha yake, na kumpiga yule Mfilisti, naye BWANA akawatendea Israeli wote wokovu mkuu. Wewe mwenyewe uliona jambo hilo, ukafurahi; basi kwa nini kukosa juu ya damu isiyo na hatia, umwue huyo Daudi bure?


Ndipo yule mwanamke akamwendea Sauli na alipoona kuwa yeye ametaabika sana, akamwambia, Angalia, mjakazi wako ameisikiliza sauti yako, nami nimehatarisha uhai wangu, nami nimeyasikiliza maneno yako uliyoniambia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo