Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 12:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Huwaondolea moyo wakuu wa watu wa nchi, Na kuwapoteza nyikani pasipokuwa na njia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Huwaondolea viongozi wa watu ujuzi wao, huwafanya watangetange nyikani kusiko na njia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Huwaondolea viongozi wa watu ujuzi wao, huwafanya watangetange nyikani kusiko na njia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Huwaondolea viongozi wa watu ujuzi wao, huwafanya watangetange nyikani kusiko na njia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.

Tazama sura Nakili




Yobu 12:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Huondoa usemi wa hao walioaminiwa, Na kuondoa fahamu za wazee.


Kwa kuwa umezifumba akili zao ufahamu; Kwa hiyo hutawaacha wanishinde.


Walitangatanga jangwani katika njia ya nyika; Hawakuona mji wa kukaa.


Aliwamwagia wakuu dharau, Na kuwazungusha katika nyika isiyo na njia.


Kwa dhambi ya kinywa chao, Na kwa neno la midomo yao, Wanaswe kwa kiburi chao, Kwa ajili ya kulaani na uongo wasemao.


Ufunuo juu ya Misri. Tazama, BWANA amepanda juu ya wingu jepesi, anafika Misri; na sanamu za Misri zinatikisika mbele zake, na moyo wa Misri unayeyuka ndani yake.


Majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha watu wote; wanyama wa mwituni walipata uvuli chini yake, na ndege wa angani walikaa katika matawi yake; kila kitu chenye mwili kilipata chakula kwake.


Nikaona katika njozi za kichwa changu kitandani mwangu, na tazama, mlinzi, naye ni mtakatifu, alishuka kutoka mbinguni.


moyo wake ubadilike, usiwe moyo wa binadamu, na apewe moyo wa mnyama; nyakati saba zikapite juu yake.


Saa hiyo hiyo jambo hilo likatimizwa, likampata Nebukadneza; alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ng'ombe, na mwili wake ulilowa maji kwa umande wa mbinguni, hata nywele zake zikakua, zikawa kama manyoya ya tai, na kucha zake kama kucha za ndege.


Naye Efraimu amekuwa kama njiwa mpumbavu, asiye na fahamu; humwita Misri, huenda Ashuru.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo