Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 12:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Huyaongeza mataifa, na kuyaangamiza; Huyaeneza mataifa mbali, na kuyaacha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Huyakuza mataifa kisha huyaangamiza, huyafanya yapanuke kisha huyatawanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Huyakuza mataifa kisha huyaangamiza, huyafanya yapanuke kisha huyatawanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Huyakuza mataifa kisha huyaangamiza, huyafanya yapanuke kisha huyatawanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.

Tazama sura Nakili




Yobu 12:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye aliwabariki wakaongezeka sana, Wala hawapunguzi mifugo wao.


Walipopungua na kudhilika, Kwa kuonewa na dhiki na huzuni.


Basi Mungu akawatendea mema wale wakunga; na hao watu wakaongezeka sana, wakaendelea na kuzidi kuwa na nguvu nyingi.


Na wana wa Israeli walikuwa na uzazi sana, na kuongezeka mno, na kuzidi kuwa wengi, nao wakaendelea na kuongezeka nguvu; na ile nchi ilikuwa imejawa na wao.


Umeliongeza hilo taifa, BWANA, umeliongeza taifa; wewe umetukuzwa, umeipanua mipaka yote ya nchi hii.


Siku zijazo Yakobo atatia mizizi; Israeli atatoa maua na kuchipuka; Nao watajaza uso wa ulimwengu matunda.


Mwangalieni Abrahamu, baba yenu, na Sara, aliyewazaa; kwa maana alipokuwa mmoja tu nilimwita, nikambariki, nikamfanya kuwa wengi.


Aliye mdogo zaidi atakuwa elfu, Na mnyonge atakuwa taifa hodari; Mimi, BWANA, nitayahimiza hayo wakati wake.


Umeliongeza taifa, umezidisha furaha yao; Wanafurahi mbele zako, Kama furaha ya wakati wa mavuno, Kama watu wafurahivyo wagawanyapo nyara.


Tena kwao itasikiwa shukrani, na sauti yao wachangamkao; nami nitawazidisha, wala hawatakuwa wachache; tena nitawatukuza, wala hawatakuwa wanyonge.


Kama vile jeshi la mbinguni haliwezi kuhesabiwa, wala mchanga wa bahari kupimwa; ndivyo nitakavyoongeza wazao wa Daudi, mtumishi wangu, na Walawi wanaonihudumia.


Nitawapigia kelele, na kuwakusanya pamoja; kwa maana nimewakomboa; nao wataongezeka kama walivyokua hapo awali.


Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo