Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 12:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Huvumbua mambo ya siri tokea gizani, Na hicho kilicho giza tupu huleta mwangani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Huvifunua vilindi vya giza, na kuleta mwangani yaliyokuwa gizani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Huvifunua vilindi vya giza, na kuleta mwangani yaliyokuwa gizani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Huvifunua vilindi vya giza, na kuleta mwangani yaliyokuwa gizani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.

Tazama sura Nakili




Yobu 12:22
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mmojawapo wa watumishi wake akasema, La, bwana wangu, mfalme; lakini Elisha, yule nabii aliye katika Israeli, humwambia mfalme wa Israeli maneno uyanenayo katika chumba chako cha kulala.


Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Maana asubuhi kwao wote ni kama giza tupu; Maana wao wavijua vitisho vya hiyo giza tupu.


Ishikwe na giza, giza tupu, kuwa yake; Wingu na likae juu yake; Chote kiifanyacho siku kuwa giza na kiitishe.


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku;


Giza nalo halikufichi kitu, Bali usiku huangaza kama mchana; Giza na mwanga kwako ni sawasawa.


Je! Mungu hangegundua jambo hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.


yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri; huyajua yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.


mtafuteni yeye afanyaye Kilimia na Orioni, na kukigeuza kivuli cha mauti kuwa asubuhi, na kuufanya mchana kuwa giza usiku; yeye ayaitaye maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa nchi; BWANA, ndilo jina lake;


Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.


Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa mauti, Na kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.


Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo