Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 12:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Humwaga aibu juu ya hao wakuu, Na kulegeza mshipi wa wenye nguvu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Huwamwagia wakuu aibu, huwaondolea wenye uwezo nguvu zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Huwamwagia wakuu aibu, huwaondolea wenye uwezo nguvu zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Huwamwagia wakuu aibu, huwaondolea wenye uwezo nguvu zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Huwadharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.

Tazama sura Nakili




Yobu 12:21
25 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika, jana nimeiona damu ya Nabothi, na damu ya wanawe, asema BWANA; nami nitakulipa katika kiwanja hiki, asema BWANA. Basi sasa mtwae huyu ukamtupe katika kiwanja hicho, sawasawa na neno la BWANA.


Yeye hulegeza kifungo cha wafalme, Na kuwafunga viuno vyao kwa mshipi.


Au pamoja na wakuu wenye dhahabu, Waliozijaza nyumba zao fedha;


Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Aliwamwagia wakuu dharau, Na kuwazungusha katika nyika isiyo na njia.


Basi wakakiweka hata asubuhi, kama Musa alivyowaagiza; nacho hakikutoa uvundo wala kuingia mabuu.


Tena kama ukikataa kuwapa ruhusa, tazama, nitaipiga mipaka yako yote kwa kuleta vyura;


Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.


nami nitamvika vazi lako, nitamtia nguvu kwa mshipi wako, nami nitamkabidhi yeye mamlaka yako; naye atakuwa baba kwa wenyeji wa Yerusalemu, na kwa nyumba ya Yuda.


BWANA wa majeshi ndiye aliyefanya shauri hili, ili kuharibu kiburi cha utukufu wote, na kuwaaibisha watu wa duniani wote pia.


Ikawa alipokuwa akiabudu katika nyumba ya Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza, wanawe, wakampiga kwa upanga; wakakimbilia nchi ya Ararati; naye Esar-hadoni, mwanawe, akatawala baada yake.


ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.


Haya ndiyo BWANA amwambiayo Koreshi, masihi wake, ambaye nimemshika mkono wake wa kulia, ili kutiisha mataifa mbele yake, nami nitalegeza nguvu za wafalme; ili kufungua milango mbele yake, hata malango hayatafungwa.


Miongoni mwao hakuna achokaye wala kukwaa; Hakuna asinziaye wala kulala usingizi; Wala mshipi wa viuno vyao hautalegea. Wala ukanda wa viatu vyao hautakatika;


nami nitamkatilia mbali mwamuzi atoke kati yake, nami nitawaua wakuu wake pamoja naye, asema BWANA.


Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na wadudu, akatokwa na roho.


Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.


Basi simameni, mkiwa mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo