Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 12:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Hapana shaka ninyi ndinyi watu halisi, Nanyi mtakapokufa, ndipo na hekima itakoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Sawa! Nyinyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mtakapokufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Sawa! Nyinyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mtakapokufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Sawa! Nyinyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mtakapokufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!

Tazama sura Nakili




Yobu 12:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mpumbavu aweza kupata ufahamu, Ingawa mwanadamu huzaliwa kama mtoto wa punda mwitu.


Je! Huu wingi wa maneno usijibiwe? Na mtu aliyejaa maneno, je! Ahesabiwe kuwa na haki?


Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,


Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.


Kwa kuwa umezifumba akili zao ufahamu; Kwa hiyo hutawaacha wanishinde.


Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.


Jinsi ulivyomshauri huyo asiye na hekima! Na kutangaza ujuzi wa kweli kwa wingi!


Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe; Bali maskini mwenye ufahamu humchunguza sana.


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye akili katika Kristo; sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo