Yobu 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Yeye hulegeza kifungo cha wafalme, Na kuwafunga viuno vyao kwa mshipi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Huwavua wafalme vilemba vyao; na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Huwavua wafalme vilemba vyao; na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Huwavua wafalme vilemba vyao; na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni. Tazama sura |