Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 12:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Yeye hulegeza kifungo cha wafalme, Na kuwafunga viuno vyao kwa mshipi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Huwavua wafalme vilemba vyao; na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Huwavua wafalme vilemba vyao; na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Huwavua wafalme vilemba vyao; na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.

Tazama sura Nakili




Yobu 12:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Humwaga aibu juu ya hao wakuu, Na kulegeza mshipi wa wenye nguvu.


Pamoja na wafalme na washauri wa dunia, Hao waliojijengea maganjoni;


Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.


Ee BWANA, hakika mimi ni mtumishi wako, Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako, Umevifungua vifungo vyangu.


Miongoni mwao hakuna achokaye wala kukwaa; Hakuna asinziaye wala kulala usingizi; Wala mshipi wa viuno vyao hautalegea. Wala ukanda wa viatu vyao hautakatika;


Yeye hubadili majira na nyakati; hutengua na kuteua wafalme; huwapa hekima wenye hekima; huwapa wenye ufahamu maarifa;


Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.


Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo