Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 12:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Wazee ndio walio na hekima, Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwao walioishi muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwao walioishi muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwao walioishi muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Je, hekima haipatikani kwa wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?

Tazama sura Nakili




Yobu 12:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee waliokuwa wakisimama mbele ya Sulemani, baba yake, alipokuwa hai, akasema, Mwanipa shauri gani ili niwajibu watu hawa?


Wenye mvi, na walio wazee sana, wote wapo pamoja nasi, Ambao ni wazee kuliko baba yako.


Basi Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, na kusema, Mimi ni kijana, na ninyi ni wazee sana; Kwa hiyo nilijizuia, nisithubutu kuwaonesha nionavyo.


Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.


Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo