Yobu 12:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake, Na pumzi zao wanadamu wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Uhai wa kila kiumbe hai umo mikononi mwake; kadhalika na pumzi ya uhai wa binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Uhai wa kila kiumbe hai umo mikononi mwake; kadhalika na pumzi ya uhai wa binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Uhai wa kila kiumbe hai umo mikononi mwake; kadhalika na pumzi ya uhai wa binadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote. Tazama sura |
Bali umejiinua juu ya Bwana wa mbingu; nao wamevileta vyombo vya nyumba yake mbele yako; na wewe, na wakuu wako, na wake zako, na masuria wako, mmevinywea; nawe umeisifu miungu ya fedha na ya dhahabu na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe; wasioona, wala kusikia, wala kujua neno lolote; na Mungu yule, ambaye pumzi yako i mkononi mwake, na njia zako zote ni zake, hukumtukuza.