Yobu 11:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Je! Huu wingi wa maneno usijibiwe? Na mtu aliyejaa maneno, je! Ahesabiwe kuwa na haki? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Je, wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Je, mtu wa maneno mengi aonesha kuwa hana hatia? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Je, wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Je, mtu wa maneno mengi aonesha kuwa hana hatia? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Je, wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Je, mtu wa maneno mengi aonesha kuwa hana hatia? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa? Je, huyu mnenaji athibitishwe kuwa na haki? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Je, maneno haya yote yapite bila kujibiwa? Je, huyu mnenaji athibitishwe kuwa na haki? Tazama sura |