Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 11:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Nawe utakuwa salama, kwa sababu kuna matumaini; Naam, utatafutatafuta kando yako, na kupumzika salama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Utakuwa na ujasiri maana lipo tumaini; utalindwa na kupumzika salama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Utakuwa na ujasiri maana lipo tumaini; utalindwa na kupumzika salama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Utakuwa na ujasiri maana lipo tumaini; utalindwa na kupumzika salama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini; utatazama pande zote na kupumzika kwa salama.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini; utatazama pande zote na kupumzika kwa salama.

Tazama sura Nakili




Yobu 11:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na maisha yako yatakuwa meupe kuliko adhuhuri; Giza lake litakuwa kama alfajiri.


Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu; Naam, wengi watakutafuta uso wako.


Nguvu zangu ni zipi, hata ningoje? Na mwisho wangu ni nini, hata nisubiri?


Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, Nazo zapita pasipokuwa na matumaini.


Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.


Nilijilaza na kulala usingizi, kisha ninaamka tena, Kwa kuwa BWANA ananitegemeza.


Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Maana nitamsifu tena, Aliye msaada wangu, Na Mungu wangu.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu


Tufuate:

Matangazo


Matangazo