Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Kwa kuwa utasahau mateso yako; Utayakumbuka kama maji yaliyokwisha pita;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Utazisahau taabu zako zote; utazikumbuka tu kama mafuriko yaliyopita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Utazisahau taabu zako zote; utazikumbuka tu kama mafuriko yaliyopita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Utazisahau taabu zako zote; utazikumbuka tu kama mafuriko yaliyopita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Hakika utaisahau taabu yako, utaikumbuka tu kama maji yaliyokwisha kupita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Hakika utaisahau taabu yako, utaikumbuka tu kama maji yaliyokwisha kupita.

Tazama sura Nakili




Yobu 11:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akamwita jina lake yule aliyezaliwa kwanza, Manase, maana alisema, Mungu amenisahaulisha taabu zangu zote, na nyumba yote ya baba yangu.


Na agano langu nitalithibitisha nanyi; wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika, baada ya hayo, kuiharibu nchi.


Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?


Ndugu zangu wametenda udanganyifu kama kijito cha maji. Mfano wa fumbi la vijito vipitavyo.


Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.


Kwa kuwa mtu hatazikumbuka mno siku za maisha yake; kwa sababu Mungu humtakabali katika furaha ya moyo wake.


Usiogope; maana hutatahayarika; wala usifadhaike; maana hutaaibishwa; kwa kuwa utaisahau aibu ya ujana wako, pia masuto ya ujane wako hutayakumbuka tena.


Kwa maana jambo hili limekuwa kama maji ya Nuhu kwangu; maana kama nilivyoapa ya kwamba maji ya Nuhu hayatapita juu ya dunia tena, kadhalika nimeapa ya kwamba sitakuonea hasira, wala kukukemea.


Hata itakuwa yeye atakayejibariki duniani, atajibariki kwa Mungu wa kweli; naye atakayeapa duniani, ataapa kwa Mungu wa kweli. Kwa kuwa taabu za kwanza zimesahauliwa, na kwa kuwa zimefichwa machoni pangu.


Mwanamke azaapo, ana huzuni kwa kuwa saa yake imefika; lakini akiisha kuzaa mwana, haikumbuki tena ile dhiki, kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtu ulimwenguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo