Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 11:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Hakika ndipo utakapopata kuinua uso pasipo ila; Naam, utathibitika, wala hutakuwa na hofu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Hapo utajitokeza mbele ya watu bila lawama, utakuwa thabiti bila kuwa na hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Hapo utajitokeza mbele ya watu bila lawama, utakuwa thabiti bila kuwa na hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Hapo utajitokeza mbele ya watu bila lawama, utakuwa thabiti bila kuwa na hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 ndipo utainua uso wako bila aibu; utasimama imara bila hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 ndipo utainua uso wako bila aibu; utasimama imara bila hofu.

Tazama sura Nakili




Yobu 11:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, lakini yapasa uishinde.


Mimi nikiwa mwovu, ole wangu! Nami nikiwa mwenye haki, walakini sitainua kichwa changu; Maana nimejaa aibu Nikiyaangalia mateso yangu.


Kwani ndipo utakapojifurahisha katika Mwenyezi, Na kuinua uso wako kumwelekea Mungu.


BWANA ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? BWANA ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani?


Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa. Vita vijaponitokea, Hata hapo nitatumainia BWANA.


Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.


Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi, Ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.


Kwa maana kujisifu kwetu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa utakatifu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu; si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu; tulienenda katika dunia, na hasa kwenu ninyi.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.


Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, muwe na ujasiri, wala msiaibike mbele zake katika kuja kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo