Yobu 11:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Yeye akipita, na kufunga watu, Na kuwaita hukumuni, ni nani basi awezaye kumzuia? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Kama Mungu akipita, akamfunga mtu na kumhukumu, nani awezaye kumzuia? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Kama Mungu akipita, akamfunga mtu na kumhukumu, nani awezaye kumzuia? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Kama Mungu akipita, akamfunga mtu na kumhukumu, nani awezaye kumzuia? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 “Akija na kukufunga gerezani, na kuitisha mahakama, ni nani awezaye kumpinga? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 “Kama akija na kukufunga gerezani, na kuitisha mahakama, ni nani awezaye kumpinga? Tazama sura |