Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 10:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Je! Wewe una macho ya kimwili, Au je! Waona kama aonavyo binadamu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Je, una macho kama ya binadamu? Je, waona kama binadamu aonavyo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Je, una macho kama ya binadamu? Je, waona kama binadamu aonavyo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Je, una macho kama ya binadamu? Je, waona kama binadamu aonavyo?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?

Tazama sura Nakili




Yobu 10:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.


Kwani macho yake yako juu ya njia za mtu, Naye huziona hatua zake zote.


Maana yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu, Hata tuwe mahakamani pamoja.


Akawaambia, Ninyi ndinyi mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu awajua mioyo yenu; kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.


Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na macho yake kama muali wa moto;


Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo