Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 10:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Nitamwambia Mungu, Usinihukumie makosa; Nijulishe kwa nini unapingana nami.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu. Nijulishe kisa cha kupingana nami.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu. Nijulishe kisa cha kupingana nami.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu. Nijulishe kisa cha kupingana nami.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.

Tazama sura Nakili




Yobu 10:2
20 Marejeleo ya Msalaba  

Maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.


Mimi, je! Mashitaka yangu yamhusu mwanadamu? Nami kwa nini nisikose kusubiri?


Kwa nini unapingana naye, ukisema, Hatajibu hata neno langu moja?


Je! Mwenye hoja atashindana na Mwenyezi? Mwenye kujadiliana na Mungu, na ajibu yeye.


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Nitahukumiwa kuwa ni mkosa; Ya nini basi nitaabike bure?


Kama akipenda kushindana naye, Hawezi kumjibu neno moja katika elfu.


Na Wewe, MUNGU, Bwana, unitendee kwa ajili ya jina lako, Kwa kuwa fadhili zako ni njema uniokoe.


Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.


Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu, Wala maasi yangu. Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako, Ee BWANA kwa ajili ya wema wako.


Ee BWANA, usikie, kwa sauti yangu ninalia, Unifadhili, unijibu.


Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo