Yobu 10:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Ningalikuwa kama mtu asiyekuwapo; Ningalichukuliwa kaburini kutoka tumboni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Ningepelekwa moja kwa moja kaburini, nikawa kama mtu asiyepata kuwako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Ningepelekwa moja kwa moja kaburini, nikawa kama mtu asiyepata kuwako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Ningepelekwa moja kwa moja kaburini, nikawa kama mtu asiyepata kuwako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Laiti nisingezaliwa, au kama ningepelekwa kaburini moja kwa moja kutoka tumboni! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini! Tazama sura |