Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kwa nini basi kunitoa tumboni? Ningekata roho, lisinione jicho lolote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “Ee Mungu, kwa nini ulinitoa tumboni mwa mama? Afadhali ningekufa kabla ya watu kuniona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “Ee Mungu, kwa nini ulinitoa tumboni mwa mama? Afadhali ningekufa kabla ya watu kuniona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “Ee Mungu, kwa nini ulinitoa tumboni mwa mama? Afadhali ningekufa kabla ya watu kuniona.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.

Tazama sura Nakili




Yobu 10:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ningalikuwa kama mtu asiyekuwapo; Ningalichukuliwa kaburini kutoka tumboni.


Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Lakini mwanadamu hufa, hufariki dunia; Naam, mwanadamu hukata roho, naye yupo wapi?


Maana sikufadhaishwa kwa sababu ya giza, Wala kwa sababu giza kuu limenifunika uso.


Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima.


Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.


Mwana wa Adamu aenda zake, kama alivyoandikiwa; lakini ole wake mtu yule ambaye amsaliti Mwana wa Adamu! Ingekuwa heri kwake mtu yule kama asingalizaliwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo