Yobu 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kwa nini basi kunitoa tumboni? Ningekata roho, lisinione jicho lolote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 “Ee Mungu, kwa nini ulinitoa tumboni mwa mama? Afadhali ningekufa kabla ya watu kuniona. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 “Ee Mungu, kwa nini ulinitoa tumboni mwa mama? Afadhali ningekufa kabla ya watu kuniona. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 “Ee Mungu, kwa nini ulinitoa tumboni mwa mama? Afadhali ningekufa kabla ya watu kuniona. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona. Tazama sura |