Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 10:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Nikifanya dhambi, ndipo waniangalia, Wala hutaniachilia na uovu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ulikuwa unangojea uone kama nitatenda dhambi, ili ukatae kunisamehe uovu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ulikuwa unangojea uone kama nitatenda dhambi, ili ukatae kunisamehe uovu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ulikuwa unangojea uone kama nitatenda dhambi, ili ukatae kunisamehe uovu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.

Tazama sura Nakili




Yobu 10:14
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa wazihesabu hatua zangu; Je! Huchungulii dhambi yangu?


Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Mimi ninayaogopa mateso yangu yote, Najua kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.


BWANA, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama?


Ee BWANA, umenichunguza na kunijua.


Umeyaweka maovu yetu mbele zako, Dhambi zetu za siri katika mwanga wa uso wako.


mwenye kuwaonea huruma watu maelfu, mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi; wala si mwenye kumhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe; mwenye kuwapatiliza watoto uovu wa baba zao, na wana wa wana wao pia, hata kizazi cha tatu na cha nne.


Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote, hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.


BWANA ni mpole wa hasira, mwingi wa rehema, mwenye kusamehe uovu na makosa, naye hatamfanya mwenye hatia kuwa hana makosa kwa njia yoyote; mwenye kuwapatiliza wana kwa uovu wa baba zao, katika kizazi cha tatu na cha nne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo