Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Lakini mambo haya uliyaficha moyoni mwako; Najua kuwa haya yamo nafsini mwako;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni. Lakini najua kuwa hiyo ilikuwa nia yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni. Lakini najua kuwa hiyo ilikuwa nia yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni. Lakini najua kuwa hiyo ilikuwa nia yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:

Tazama sura Nakili




Yobu 10:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nikifanya dhambi, ndipo waniangalia, Wala hutaniachilia na uovu wangu.


Lakini yeye ni mmoja, ni nani awezaye kumgeuza? Tena nafsi yake ilitakalo, ndilo afanyalo.


Kwani yeye hulitimiliza hilo nililoamriwa; Tena mambo mengi kama hayo ya pamoja naye.


Na mkono wa kushoto, afanyapo kazi, lakini siwezi kumwona; Hujificha upande wa kulia, hata nisimwone.


Hakika wewe u Mungu ujifichaye nafsi yako, Ee Mungu wa Israeli, Mwokozi.


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo