Yeremia 9:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Kwa maana mauti imepandia madirishani mwetu, imeingia majumbani mwetu; Ipate kuwakatilia mbali watoto walio nje, na vijana katika njia kuu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 ‘Kifo kimepenya madirisha yetu, kimeingia ndani ya majumba yetu; kimewakatilia mbali watoto wetu barabarani, vijana wetu katika viwanja vya mji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 ‘Kifo kimepenya madirisha yetu, kimeingia ndani ya majumba yetu; kimewakatilia mbali watoto wetu barabarani, vijana wetu katika viwanja vya mji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 ‘Kifo kimepenya madirisha yetu, kimeingia ndani ya majumba yetu; kimewakatilia mbali watoto wetu barabarani, vijana wetu katika viwanja vya mji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Mauti imeingia ndani kupitia madirishani, imeingia kwenye majumba yetu ya fahari; imewakatilia mbali watoto katika barabara na vijana wa kiume kutoka viwanja vya miji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Mauti imeingia ndani kupitia madirishani, imeingia kwenye majumba yetu ya fahari; imewakatilia mbali watoto katika barabara na vijana waume kutoka viwanja vya miji. Tazama sura |