Yeremia 9:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 na wafanye haraka na kutuombolezea, ili macho yetu yachuruzike machozi, na kope zetu zibubujike maji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Waambieni: ‘Njoni hima mkaomboleze juu yetu, macho yetu yapate kuchuruzika machozi, na kope zetu zibubujike machozi kama maji.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Waambieni: ‘Njoni hima mkaomboleze juu yetu, macho yetu yapate kuchuruzika machozi, na kope zetu zibubujike machozi kama maji.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Waambieni: ‘Njoni hima mkaomboleze juu yetu, macho yetu yapate kuchuruzika machozi, na kope zetu zibubujike machozi kama maji.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Nao waje upesi waomboleze juu yetu, hadi macho yetu yatiririke machozi na kope zetu zibubujike maji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Nao waje upesi na kutuombolezea, mpaka macho yetu yafurike machozi na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu. Tazama sura |