Yeremia 9:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Nami nitafanya Yerusalemu kuwa magofu, Makao ya mbweha; Nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, Isikaliwe na mtu awaye yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mwenyezi-Mungu asema: “Nitaifanya Yerusalemu magofu matupu, naam, nitaifanya kuwa pango la mbweha; na miji ya Yuda nitaifanya kuwa jangwa, mahali pasipokaliwa na mtu yeyote.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mwenyezi-Mungu asema: “Nitaifanya Yerusalemu magofu matupu, naam, nitaifanya kuwa pango la mbweha; na miji ya Yuda nitaifanya kuwa jangwa, mahali pasipokaliwa na mtu yeyote.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mwenyezi-Mungu asema: “Nitaifanya Yerusalemu magofu matupu, naam, nitaifanya kuwa pango la mbweha; na miji ya Yuda nitaifanya kuwa jangwa, mahali pasipokaliwa na mtu yeyote.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu, makao ya mbweha; nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, asiwepo atakayeishi humo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu, makao ya mbweha; nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa ili asiwepo atakayeishi humo.” Tazama sura |