Yeremia 8:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Mwasemaje, Sisi tuna akili, na Torati ya BWANA tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mnawezaje kusema: ‘Sisi tuna hekima, sisi tunayo sheria ya Mwenyezi-Mungu,’ hali waandishi wa sheria, wameipotosha sheria yangu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mnawezaje kusema: ‘Sisi tuna hekima, sisi tunayo sheria ya Mwenyezi-Mungu,’ hali waandishi wa sheria, wameipotosha sheria yangu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mnawezaje kusema: ‘Sisi tuna hekima, sisi tunayo sheria ya Mwenyezi-Mungu,’ hali waandishi wa sheria, wameipotosha sheria yangu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “ ‘Mwawezaje kusema, “Sisi tuna busara kwa sababu tunayo Torati ya Mwenyezi Mungu,” wakati kwa hakika kalamu ya uongo ya waandishi imeandika kwa udanganyifu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “ ‘Mwawezaje kusema, “Sisi tuna busara kwa sababu tunayo Torati ya bwana,” wakati ambapo kwa hakika kalamu ya uongo ya waandishi imeandika kwa udanganyifu? Tazama sura |