Yeremia 8:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Mbona, basi, watu hawa wa Yerusalemu wamegeuka waende nyuma, wasikome kugeuka hivyo? Hushika udanganyifu sana, hukataa kurudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mbona basi, watu hawa wameacha njia iliyo sawa na kuendelea katika upotovu wao? Wanashikilia miungu yao ya uongo, na kukataa kunirudia mimi! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mbona basi, watu hawa wameacha njia iliyo sawa na kuendelea katika upotovu wao? Wanashikilia miungu yao ya uongo, na kukataa kunirudia mimi! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mbona basi, watu hawa wameacha njia iliyo sawa na kuendelea katika upotovu wao? Wanashikilia miungu yao ya uongo, na kukataa kunirudia mimi! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa nini basi watu hawa waliasi? Kwa nini Yerusalemu wanaasi kila mara? Wanang’ang’ania udanganyifu na wanakataa kurudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa nini basi watu hawa walipotea? Kwa nini Yerusalemu inapotea kila mara? Wanang’ang’ania udanganyifu na wanakataa kurudi. Tazama sura |