Yeremia 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Tena utawaambia, BWANA asema hivi, Je! Watu wataanguka, wasisimame tena? Je! Mtu atageuka aende zake, asirudi tena? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 “Wewe Yeremia utawaambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mtu akianguka, je hainuki tena? Mtu akipotea, je, hairudii tena njia yake? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 “Wewe Yeremia utawaambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mtu akianguka, je hainuki tena? Mtu akipotea, je, hairudii tena njia yake? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 “Wewe Yeremia utawaambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mtu akianguka, je hainuki tena? Mtu akipotea, je, hairudii tena njia yake? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 “Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki? Je, mtu anapopotea harudi? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 “Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo bwana: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki? Je, mtu anapopotea harudi? Tazama sura |