Yeremia 8:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika. Tazama sura |