Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 8:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni, ninaomboleza na kufadhaika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia; ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.

Tazama sura Nakili




Yeremia 8:21
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nikamwambia mfalme, Mfalme na aishi milele; kwani uso wangu usiwe na huzuni, iwapo mji, ulio mahali pa makaburi ya baba zangu, unakaa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?


Nawe utawaambia neno hili, Macho yangu na yatiririke machozi, usiku na mchana, wala yasikome; kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjika mavunjiko makuu, kwa jeraha lisiloponyeka.


Yuda huomboleza, Na malango yake yamelegea; Wameketi chini wamevaa kaniki; Na kilio cha Yerusalemu kimepaa juu.


Mimi hapa sikufanya haraka kuacha kuwa mchungaji nyuma yako; wala sikuitamani siku ya maradhi ya kuua; wewe unajua; yaliyotoka midomoni mwangu yalikuwa mbele za uso wako.


Mtima wangu, mtima wangu! Naumwa katika moyo wangu wa ndani; moyo wangu umefadhaika ndani yangu; siwezi kunyamaza; kwa sababu umesikia, Ee nafsi yangu, sauti ya tarumbeta, mshindo wa vita.


Mavuno yamepita, wakati wa joto umekwisha, wala sisi hatukuokoka.


Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu kuwa chemchemi ya machozi, ili nipate kulia mchana na usiku kwa ajili yao waliouawa wa binti ya watu wangu!


Mimi ni mtu aliyeona mateso Kwa fimbo ya ghadhabu yake.


Mbele yao watu wanahangaika; nyuso zote zimegeuka kuwa nyeupe kwa hofu.


Amekuwa utupu, na ukiwa, na uharibifu; hata moyo unayeyuka, na magoti yanagonganagongana; moyoni kote mna uchungu, na nyuso za wote zimekuwa nyeupe kwa hofu.


Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo