Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Mavuno yamepita, wakati wa joto umekwisha, wala sisi hatukuokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi bado hatujaokolewa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha, nasi hatujaokolewa.”

Tazama sura Nakili




Yeremia 8:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.


Tazama, sauti ya kilio cha binti ya watu wangu, itokayo katika nchi iliyo mbali sana; Je! BWANA hayumo katika Sayuni? Mfalme wake hayumo ndani yake? Mbona wamenikasirisha kwa sanamu zao walizochonga, na kwa ubatili wa kigeni?


Kwa sababu ya maumivu ya binti ya watu wangu nimeumia mimi; nimevaa kaniki; ushangao umenishika.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiwa kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo