Yeremia 8:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Laiti ningeweza kujifariji, nisione huzuni! Moyo wangu umezimia ndani yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Huzuni yangu haiwezi kutulizwa, moyo wangu wasononeka ndani yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Huzuni yangu haiwezi kutulizwa, moyo wangu wasononeka ndani yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Huzuni yangu haiwezi kutulizwa, moyo wangu wasononeka ndani yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Ee Mfariji wangu katika huzuni, moyo wangu umezimia ndani yangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ee Mfariji wangu katika huzuni, moyo wangu umezimia ndani yangu. Tazama sura |