Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 8:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Laiti ningeweza kujifariji, nisione huzuni! Moyo wangu umezimia ndani yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Huzuni yangu haiwezi kutulizwa, moyo wangu wasononeka ndani yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Huzuni yangu haiwezi kutulizwa, moyo wangu wasononeka ndani yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Huzuni yangu haiwezi kutulizwa, moyo wangu wasononeka ndani yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Ee Mfariji wangu katika huzuni, moyo wangu umezimia ndani yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Ee Mfariji wangu katika huzuni, moyo wangu umezimia ndani yangu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 8:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Kwa sababu hiyo nasema, Geuza uso wako usinitazame, nipate kulia kwa uchungu; usijishughulishe kunifariji, kwa ajili ya kuharibika kwake binti ya watu wangu.


Kuhusu habari za manabii. Moyo wangu ndani yangu umevunjika, Mifupa yangu yote inatikisika. Nimekuwa kama mtu aliye mlevi, Na kama mtu aliyeshindwa na divai; kwa ajili ya BWANA, na kwa ajili ya maneno yake matakatifu.


Mtima wangu, mtima wangu! Naumwa katika moyo wangu wa ndani; moyo wangu umefadhaika ndani yangu; siwezi kunyamaza; kwa sababu umesikia, Ee nafsi yangu, sauti ya tarumbeta, mshindo wa vita.


Tumesikia habari zake; mikono yetu inalegea; dhiki imetushika, na uchungu kama wa mwanamke wakati wa kuzaa kwake.


Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu kuwa chemchemi ya machozi, ili nipate kulia mchana na usiku kwa ajili yao waliouawa wa binti ya watu wangu!


Kwa sababu hiyo mioyo yetu imezimia; Kwa ajili ya hayo macho yetu hayaoni vema.


Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka, Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile; Ubovu ukaingia mifupani mwangu, Nikatetemeka katika mahali pangu; Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki, Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo