Yeremia 8:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu. Tazama sura |