Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 8:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna jema lililotokea. Tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Tulitegemea amani, lakini hakuna jema lililokuja, tulitegemea wakati wa kupona, lakini kulikuwa hofu tu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 8:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo nilipotazamia mema, ndipo yakaja mabaya; Nami nilipongojea mwanga, likaja giza.


Watekao nyara wamepanda juu ya vilele vya milima katika nyika; kwa maana upanga wa BWANA utaangamiza toka upande mmoja wa nchi hata upande wa pili wa nchi; hapana mwenye mwili atakayekuwa na amani.


Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!


Nami nikasema, Aa, Bwana MUNGU! Hakika umewadanganya sana watu hawa na Yerusalemu, ukisema, Mtakuwa na amani lakini upanga umeingia katika nafsi za watu.


Msitoke kwenda mashambani, wala msitembee njiani, kwa maana upanga wa adui uko huko; hofu ziko pande zote.


Kwa maana wamelitibu jeraha la binti ya watu wangu kwa juu juu tu, wakisema, Amani, Amani, wala hapana amani.


Uharibifu utakapokuja; nao watatafuta amani, lakini haitapatikana.


Maana wakazi wa Marothi wanasubiri kwa hamu kupata mema; Lakini maangamizi yameshuka toka kwa BWANA, Yamefika katika lango la Yerusalemu.


Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafla, kama vile uchungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo