Yeremia 8:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Mbona tunakaa kimya? Jikusanyeni, tukaingie ndani ya miji yenye maboma, tukanyamaze humo kwa maana BWANA, Mungu wetu, ametunyamazisha, naye ametupa maji yenye uchungu tunywe, kwa sababu tumemwasi BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Watu wanauliza: Kwa nini sisi tunakaa tu hapa? Kusanyikeni, tuingie katika miji yenye ngome, tukaangamie huko! Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, ametupangia tuangamie, ametupa maji yenye sumu tunywe, kwa kuwa tumemkosea yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Watu wanauliza: Kwa nini sisi tunakaa tu hapa? Kusanyikeni, tuingie katika miji yenye ngome, tukaangamie huko! Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, ametupangia tuangamie, ametupa maji yenye sumu tunywe, kwa kuwa tumemkosea yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Watu wanauliza: Kwa nini sisi tunakaa tu hapa? Kusanyikeni, tuingie katika miji yenye ngome, tukaangamie huko! Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, ametupangia tuangamie, ametupa maji yenye sumu tunywe, kwa kuwa tumemkosea yeye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa nini tunaketi hapa? Kusanyikeni pamoja! Tukimbilie kwenye miji yenye ngome, tukaangamie huko! Kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, ametuhukumu kuangamia, na kutupatia maji yenye sumu tunywe, kwa sababu tumemtenda dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “Kwa nini tunaketi hapa? Kusanyikeni pamoja! Tukimbilie kwenye miji yenye maboma, tukaangamie huko! Kwa kuwa bwana, Mungu wetu ametuhukumu kuangamia, na kutupa maji yenye sumu tunywe, kwa sababu tumemtenda dhambi. Tazama sura |