Yeremia 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Nitawaangamiza kabisa, asema BWANA; hapana zabibu katika mizabibu, wala tini katika mitini, hata jani lake litanyauka; na vitu vile nilivyowapa vitawapotea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Nilipotaka kukusanya chochote kutoka kwao, sikupata zabibu hata moja juu ya mzabibu, sikupata tini zozote juu ya mtini; hata majani yao yamekauka. Hata nilichokuwa nimewapa kimetoweka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Nilipotaka kukusanya chochote kutoka kwao, sikupata zabibu hata moja juu ya mzabibu, sikupata tini zozote juu ya mtini; hata majani yao yamekauka. Hata nilichokuwa nimewapa kimetoweka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Nilipotaka kukusanya chochote kutoka kwao, sikupata zabibu hata moja juu ya mzabibu, sikupata tini zozote juu ya mtini; hata majani yao yamekauka. Hata nilichokuwa nimewapa kimetoweka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “ ‘Nitayaondoa mavuno yao, asema Mwenyezi Mungu. Hapatakuwa zabibu kwenye mzabibu. Hapatakuwa na tini kwenye mtini, na majani yake yatanyauka. Kile nilichowapa watanyang’anywa.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “ ‘Nitayaondoa mavuno yao, asema bwana. Hapatakuwepo zabibu kwenye mzabibu. Hapatakuwepo na tini kwenye mtini, majani yake yatanyauka. Kile nilichowapa watanyang’anywa.’ ” Tazama sura |