Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 7:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Angalieni, mnatumainia maneno ya uongo, yasiyoweza kufaidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 “Lakini kumbe, mnayaamini maneno ya uongo bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 “Lakini kumbe, mnayaamini maneno ya uongo bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 “Lakini kumbe, mnayaamini maneno ya uongo bure.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili




Yeremia 7:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu mmesema, Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu; pigo lifurikalo litakapopita, halitatufikia sisi; kwa maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, tumejificha chini ya maneno yasiyo kweli;


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Hakuna anayeshitaki kwa haki, wala hapana atetaye kwa kweli; hutumainia ubatili, hunena uongo; hupata mimba ya madhara, na kuzaa uovu.


Hiyo ndiyo kura yako, fungu lako ulilopimiwa na mimi, asema BWANA; kwa kuwa umenisahau, na kuutumainia uongo.


Je! Mambo hayo yatakuwa katika mioyo ya manabii wanaotabiri uongo hata lini, manabii hao wenye udanganyifu katika mioyo yao wenyewe?


Tazama, mimi niko juu ya hao wanaotabiri ndoto za uongo, asema BWANA, na kuzisema, na kuwakosesha watu wangu kwa uongo wao, na kwa majivuno yao ya upuzi, lakini mimi sikuwatuma, wala sikuwapa amri; wala hawatawafaidia watu hawa hata kidogo, asema BWANA.


Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania, Sikia sasa, Ee Hanania; BWANA hakukutuma; lakini unawapa tumaini watu hawa kwa maneno ya uongo.


Nami nikasema, Aa, Bwana MUNGU! Hakika umewadanganya sana watu hawa na Yerusalemu, ukisema, Mtakuwa na amani lakini upanga umeingia katika nafsi za watu.


Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?


Msitumainie maneno ya uongo, mkisema, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA ndiyo haya.


Basi, kwa hiyo nitawapa watu wengine wake zao na mashamba yao nitawapa wale watakaowamiliki; maana kila mmoja wao, tangu aliye mdogo hata aliye mkubwa, ni mtamanifu; tangu nabii hata kuhani, kila mmoja hutenda mambo ya udanganyifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo