Yeremia 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 ndipo nitakapowakalisha mahali hapa, katika nchi hii niliyowapa baba zenu, tokea zamani hata milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 basi mimi nitawaacha daima mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa wazee wenu tangu zamani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 basi mimi nitawaacha daima mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa wazee wenu tangu zamani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 basi mimi nitawaacha daima mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa wazee wenu tangu zamani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele. Tazama sura |
Pia niliwatuma watumishi wangu wote, manabii, kwenu ninyi, nikiwatuma pasipo kukoma, nikisema, Rudini sasa, kila mtu na aiache njia yake mbaya, mkatengeneze matendo yenu, wala msiifuate miungu mingine, ili kuitumikia, nanyi mtakaa katika nchi hii, niliyowapa ninyi na baba zenu; lakini hamkutega masikio yenu, wala hamkunisikiliza.